Simba Songtext
"Watoto yangu

mimi mama yenu

sina nguvu tena

za ku uwa simba..."




ile macezo yote

mi na kumbuka

sinta sahabu

tuli kuwa

tuna ceza

kila siku nyumba

sisi watoto

mayisha ya watoto

ingali tu macezo
mpaka leo

ata jana niliona

ku njiya kule kwetu

wengine wangali

wana imba





"inamacikangalagaca

inamacikangalagaca

inamacikangalagaca

inamacikangalagaca"





simba ni makali

ili uwa baba

tuta kula nini

wali na sombe