Haya Songtext
Haya mpaka ulaya

Haya mpaka aziya

Ata kule amerika

Unalala mutoto njiyani

Unalala mutoto inje
Ni haya

Usi ulize jina yake vile

Ju yeye, tu yeye ule

Hana jina,

Yake amejiita haya

Mutoto wa haya

Wuko inje hauliye

Ulisha kuzoweleya

Ule umasikini

Ulitafuta msaidia
Ukamukosa

Unapashwa kuiba

Ju upate cakula

Mtoto wa haya

Haya anahangayika

Haya ni malaika

Haya kwa iyi duniya...

Kweli

Ina aca mutoto njiyani

Ina aca mutoto inje

Ni haya

Usi ulize jina yake vile

Ju yeye, tu yeye ule

Hana jina,

Yake amejiita haya

Mi siweze kusahabu

Maco yake

Ananihangaliya

We haya wangu

Mi nitakosa majibu

Siku uta ni uliza

Ju ya nini ni vile ?

Ju ya nini wewe ?