Khadja Nin

Haya
Haya mpaka ulaya Haya mpaka aziya Ata kule amerika Unalala mutoto njiyani Unalala mutoto inje Ni haya Usi ulize jina yake vile Ju yeye, tu yeye ule Hana jina, Yake amejiita haya Mutoto wa haya Wuko inje hauliye Ulisha kuzoweleya SongtexteUle umasikini Ulitafuta msaidia Ukamukosa Unapashwa kuiba Ju upate cakula Mtoto wa haya Haya anahangayika Haya ni malaika Haya kwa iyi duniya... Kweli Ina aca mutoto njiyani Ina aca mutoto inje Ni haya Usi ulize jina yake vile Ju yeye, tu yeye ule Hana jina, Yake amejiita haya Mi siweze kusahabu Maco yake Ananihangaliya We haya wangu Mi nitakosa majibu Siku uta ni uliza Ju ya nini ni vile ? Ju ya nini wewe ? Aus Songtexte Mania