Damu ya salaam Songtext

Khadja Nin

von Mehr Songtexte

Damu ya salaam Songtext
tangu iraki mpaka amerika

wako karibu yakufunga vita

mi mama mzazi nauliza

ni nani ata linda watoto wetu

bwana hussein anasema:
"nataka salaam"

mi si aminiye neno ile

damu yaliyo mwangiwa

ni ya wadogo na watoto tu



mimi huyu nakosa njiya

yakusikika kwa wakubwa

kwa hakika tulijioneya

vita ya kwanza ilizala fitina

bwana hussein anasema:
"nataka salaam"

mi si aminiye neno ile

damu yaliyo mwangiwa

ni ya wadogo na watoto tu



nakata matumaini

ju kwa vile naona

wakubwa hawajali macozi ya

mutu mudogo analiya wake

siraha ya amani ilikuta kwake

mr.clinton anasema:

"nataka salaam"

mi si aminiye neno ile

damu yaliyo mwangiwa

ni ya wadogo na watoto tu



mr.clinton anasema:

"nataka salaam"

mi si aminiye neno ile

damu yaliyo mwangiwa

ni ya wadogo na watoto tu